Posted on: February 7th, 2024
By mwifyusil@
Halmashauri ya wilaya ya Kigoma imetenga fedha 60,062,500/= kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa lishe katika Halmashauri ya Kigoma.
Akiongea Mratibu wa lishe, Ndugu James Swai katika...
Posted on: March 1st, 2024
Mkuu wa wilaya ya Kigoma, Salum Kalli amewataka wadau wa masuala ya kijinsia kushirikiana na halmashauri kutoa elimu kwa jamii ili kujenga uelewa kuhusu changamoto zinazokwamisha maendeleo ya wanawake...
Posted on: March 3rd, 2024
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma, Ndugu Chiliku Hamisi Chilumba amewataka maafisa ugani kufanya kazi yenye tija kwa jamii.
Akifungua kikao kazi cha Divisheni ya kilim...