• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MKUU WA MKOA WA KIGOMA AITAKA JAMII KUBADILI MTAZAMO KATIKA MALEZI

Posted on: May 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ametoa wito kwa wazazi kuwahimiza watoto wao kufanya kazi ili wakue katika misingi ya uwajibikaji.

Ametoa wito huo leo tarehe 15 Mei 2024  wakati wa Kongamano la kilele cha Maadhimisho ya siku ya Familia ambayo kimkoa yamefanyika katika Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji.

Amesema ili kutekeleza hilo ni muhimu  wazazi waaminiane na kusaidiana majukumu ya malezi kwa kutoa muda kwa watoto wao kijamii ili kujenga urafiki na upendo miongoni mwao

Naye Afisa ustawi wa jamii Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma George Vangesal amesema kumekuwa na ongezeko la vijiwe vya wanaume katika maeneo mbalimbali mkoani humo hali inayosababisha mzigo wa malezi kumuangikia Mwanamke na kufanya suala la malezi kuwa gumu.

Vangesal amesema ni muhimu kila mmoja katika familia na jamii afanye kazi na kutimiza wajibu wake katika suala zima la malezi.

“Wazazi wanaposhindwa kutimiza wajibu wao wanasababisha watoto waingie katika matukio ya unyanyasaji na ukatili wa kijinsia hivyo kila mtu afanye kazi na kutimiza wajibu wake ili kunusuru Mustakabari wa maisha ya watoto”. Amesema Vangesal

Naye Chiriku Chilumba mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma amesema jamii inapaswa kuunganisha nguvu kwa pamoja katika malezi mazuri ya watoto ili kupata taifa lililo bora.

Amesema suala la malezi ya watoto ni ajenda endelevu ambayo kila mmoja kwa nafasi yake anapaswa kulifanyia kazi, kwenye ngazi ya familia, katika vikao na mikutano ni muhimu kuendelea kulizungumzia kwa manufaa ya taifa.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani