• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KUPEWA ELIMU YA FEDHA KUHUSU MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: October 21st, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Bw.Mganwa Nzota amewaasa Maafisa maendeleo kuendelea kutoa elimu ya fedha kwa vikundi vya Wanawake,vijana na Watu wenye Ulemavu wanaopewa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kwaajili ya kuviwezesha vikundi hivyo kujiinua kiuchumi.


Katibu Tawala Nzota ametoa kauli hiyo leo tarehe 21 Oktoba,2024 kwenye Mafunzo kuhusu mikopo inayotolewa kwenye vikundi vya Wanawake vijana na Watu wenye Ulemavu yaliyoshirikisha Wakuu wa Vitengo na Idara mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma pamoja na Maafisa Maendeleo wa Mkoa wa Kigoma na Wajumbe wengine mbalimbali.


Amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan amerejesha mikopo ya asilimia 10 ili kuwainua Wananchi hasa makundi ya Wanawake vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo jumla ya Shilingi 200,380,614/=zimetengwa katika Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 kwaajili ya Mikopo hiyo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


DAS Nzota ameongeza kuwa umri wa Vijana wanaopaswa kuomba mikopo umeongezwa kuanzia miaka 18 hadi 35 tofauti na awali ili kuwapa fursa vijana wengi zaidi kupata mikopo na kujishughulisha na shughuli zitakazowaingizia kipato.


Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bw.Jabir Timbuka amesema Halmashauri imejipanga vizuri katika kuhakikisha fedha ya mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa walengwa wote  na kuandaa utaratibu mzuri utakaowarahisishia vikundi vya Wanawake vijana na Watu wenye ulemavu kupata fedha hiyo ya mikopo kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.


Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani