• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MWENYEKITI WA HALMASHAURI NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMPONGEZA MKURUGENZI CHIRIKU KWA UTENDAJI WAKE

Posted on: September 2nd, 2024

Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mhe. Joseph Nyambwe amemsifu na kumpongeza Chiriku Hamisi Chilumba,  mkurugenzi wa Halmashauri ya Kigoma  kutokana na utekelezaji bora wa majukumu yake.

Pongezi hizo amezitoa akihitimisha kikao cha robo ya nne cha baraza la madiwani kilichofanyika Agosti 30, 2024.

Mwenyekiti Nyambwe amesema "Tangu nilipokuwa mwenyekiti wa Halmashauri  hii, Mkurugenzi wetu Chiriku amekuwa kiongozi Bora na wakipekee sana, 

 katika Kipindi kifupi alichokaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, ameleta Mabadiliko Makubwa sana ya kiutendaji katika Halmashauri , 

Miradi iliyokuwa Ikisusua katika Kipindi Cha  Chiriku Maendeleo ya Ujenzi yanaendelea kwa kiasi sana"

Vilevile amesema kuwa, Mkurugenzi Chiriku Chilumba  amefanikiwa kurejesha amani kwa wafanyakazi, madiwani na wananchi wote kwa ujumla hali iliyopelekea ongezeko la ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Chiriku amekuwa Mshirikishaji na muwazi sana kwa kila Pesa ya miradi inapoingia,  haya mambo huko nyuma hayakuwepo kabisaa . Ninamshukuru sana  Rais wetu Dr. Samia Suluhu Hassani kwa kutuletea Chiriku".

Kwa upande wa viongozi wa vyama vya Siasa waliohudhuria katika baraza hilo,Shabani Kasugulu  kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA)  amekiri jitihada za Mkurugenzi huyo na kwamba ni kiongozi msikivu na anayesimama kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

Naye katibu wa Chama Cha Mapinduzi Rashidi  Semendu amesema Chiriku Chilumba ni kiongozi wa kuigwa kutokana na utendaji kazi wake mzuri na kuwataka watendaji kuunga mkono jitihada zake kwa kutekeleza majukumu wanayopewa kwa mujibu wa kanuni na taratibu  za kiutumishi.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani