• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA ATOA WITO WA UZALENDO KATIKA KULINDA MIPAKA YA NCHI

Posted on: July 26th, 2025


Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Mhe. Dkt.Rashid Chuachua, ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Mkigo kuwa wazalendo kwa kushiriki kikamilifu katika kulinda mipaka ya nchi, huku akisisitiza umuhimu wa kufuata taratibu rasmi kwa wageni wanaoingia nchini.

Dkt.Chuachua ametoa mwito huo wakati Akihutubia Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Mkigo wakati wa ziara yake ya yenye lengo la kusikiliza na kujibu kero za wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

Amesema kuwa uzalendo ni msingi muhimu wa kulinda uhuru na usalama wa taifa, na hivyo kila mwananchi anapaswa kuwa mlinzi wa mipaka kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama


.“Watanzania ni watu wakarimu. Mgeni akija mkaribishe, lakini lazima afuate utaratibu. Usalama wa nchi lazima ulindwe na Watanzania wenyewe. Haiwezekani watu kutoka nchi nyingine waingie bila kufuata taratibu.”amesisitiza Dkt.Chuachua na kuongeza kuwa;


“Fuateni utaratibu. Uzalendo wa nchi yetu ni muhimu kuliko kitu kingine chochote. Tuwe walinzi wa mipaka yetu,”


Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Wilaya amekemea vikali vitendo vya ubakaji na ulawiti vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio na maadili, na kuwataka wazazi kuwa mstari wa mbele kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo hivyo.

“Wazazi mnatakiwa kuwa makini. Kuna watu hawapendi maendeleo, kazi yao ni kuharibu maisha ya watoto wetu. Tushirikiane kuwalinda watoto dhidi ya hawa maadui wa jamii,” amesisitiza Dkt.Chuachua


Huu ni mwendelezo wa Ziara za Mkuu wa Wilaya ya Kigoma kwenye Kata mbalimbali ili kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili Wananchi ambapo amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kuhakikisha hatua madhubuti zinachukuliwa ili kero zinazohusu migogoro ya ardhi, Maji,Umeme,afya na Elimu zinapungua na kumalizwa kabisa.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU KATIKA SEKTA YA ELIMU KIGOMA DC
  • D.C DKT CHUACHUA AWAHAKIKISHIA WANANCHI MGARAGANZA UTATUZI WA KERO ZINAZOWAKABILI
  • MKUU WA WILAYA YA KIGOMA ATOA WITO WA UZALENDO KATIKA KULINDA MIPAKA YA NCHI
  • KIGOMA D.C &KAKONKO D.C WABADILISHANA UZOEFU UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani