• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

D.C DKT.CHUACHUA APOKEA MADAWATI 100 KUTOKA KAMPUNI YA SAVONOR TANZANIA

Posted on: August 4th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe.Dkt.Rashid Chuachua amewataka wadau kuendelea kuiunga mkono Serikali katika jitihada za kuboresha miundombinu kwenye shule za msingi na Sekondari ikiwemo madawati.


Dkt.Chuachua ametoa rai hiyo leo tarehe 04, Agosti,2025 wakati wa hafla ya kukabidhiwa Madawati 100 kutoka kwenye Kampuni ya Savonor Tanzania yatakayopelekwa kwenye shule za msingi za Nyangova,Bubango,Chankabwimba na Sokoine katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Dkt.Chuachua ameishukuru Kampuni ya Savonor Tanzania kwa msaada wa madawati na kuwaasa wasichoke kuendelea kutoa madawati kwasababu bado kuna uhitaji hasa kwa shule za msingi.


Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ina jumla ya shule za msingi za Serikali 109 huku ikiwa na Wanafunzi 64,053 ambapo kwa sasa upungufu wa madawati ni 11,054 ili kuendana na uwiano wa kitaifa wa dawati moja kwa wanafunzi 3.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • KIGOMA D.C &KAKONKO D.C WABADILISHANA UZOEFU UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • D.C DKT.CHUACHUA APOKEA MADAWATI 100 KUTOKA KAMPUNI YA SAVONOR TANZANIA
  • SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU KWA MBEGU ZA MAZAO MBALIMBALI KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani