• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

PROGRAM YA SHULE BORA YAFANYA MAFUNZO YA USHIRIKIANO WA WAZAZI NA WALIMU (UWaWa)

Posted on: February 28th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kupitia Programu ya Shule Bora imeendesha mafunzo yanayohusu Ushirikiano wa Wazazi na Walimu katika (UWaWa). Mafunzo haya yanalenga kujengeana uwezo kati ya wazazi na walimu ili kuendela kushirikiana katika maendeleo ya Shule na Elimu kiujumla. 

Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Mafunzo.


Shule Bora ni Programu ya Serikali chini ya ufadhili wa shirika la UK aid, Ni Programu inayolenga kuboresha ubora wa elimu katika ngazi ya awali na msingi na kuleta usawa wa elimu kwa wasichana, wavulana na watoto wenye mahitaji maalumu na pia kuboresha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji. Programu hii inaendeshwa katika Mikoa 9 ya Tanzania Bara, Mkoa wa Kigoma ukiwa miongoni mwa mikoa hiyo 9.

Pichani juu: Washiriki wakifanya majadiliano wakati wa Mafunzo.


Mafunzo haya ya Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWaWa) yanafanyika katika Shule ya Msingi Nkema iliyopo Kata ya Mwandiga kuanzia tarehe 28 Februari, 2023 hadi tarehe 02 Februari, 2023 kwa kundi la kwanza. Walengwa kutoka Kata 16 za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wanashishiriki. Walengwa wa Mafunzo hayo ni Walimu Wakuu wa shule za msingi, Wenyeviti wa Kamati za shule na Maafisa elimu wa Kata.

Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakifanya majadiliano juu ya mada husika.


Katika mafunzo haya dhana ya shule kuwa mali ya jamii imeendela kusistizwa ili jamii iweze kushiriki vizuri zaidi katika maendeleo ya shule. Akifungua mafunzo hayo Afisa Elimu Msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mwl. Kassim Mtili amesema ushirikiano wa wazazi na walimu ndiyo nguzo kuu ya maendela ya shule zetu ambayo itaboresha elimu. Afisa elimu amesisitiza kuwa kila mshiriki kwa nafasi yake awe sehemu ya kujenga mahusiano bora kati ya shule na wazazi. Mwalimu mkuu kama msimamizi wa sera ya elimu kwenye kituo, Afisa elimu Kata kama msimamizi wa sera ya elimu kwenye kata na wazazi kama sehemu ya jamii shule husika.

Pichani juu: Afisa Elimu wa Awali na Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mwl. Kassim Mtili (Katikati mwenye Koti) akifungua mafunzo hayo tarehe 28 Februari, 2023.


Mafunzo haya yanafanyika wakati ambao wazazi wamekuwa ni sehemu muhimu sana kuiwezesha serikali kuendelea kutekeleza mipango ya kuboresha elimu nchini huku dhana ya ushirikishwaji wa wananchi ikisisitizwa ili kufikia mafanikio katika sekta ya elimu.

Washiriki zaidi ya 230 kutoka Kata 16 ambao ni Wenyeviti wa Kamati za Shule, Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata wanapewa mafunzo haya ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi ili baada ya mafunzo hayo waende wakaimarishe Ushirikiano katika usimaamizi wa shule.

Pichani juu: Washiriki wakimsikiliza mshiriki mwenzao wakati wa majadiliano. 


Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Mafunzo.


Pichani juu na chini: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Mafunzo.

Matangazo kwa umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II March 13, 2023
  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MEMKWA KUSAIDIA WALIOKOSA ELIMU KWA MFUMO RASMI

    March 21, 2023
  • BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA KIGOMA LAFANYA MKUTANO

    March 15, 2023
  • PROGRAM YA SHULE BORA YAFANYA MAFUNZO YA USHIRIKIANO WA WAZAZI NA WALIMU (UWaWa)

    February 28, 2023
  • WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI HALMASHAURI YA WAILAYA YA KIGOMA

    February 23, 2023
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa