• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

plan and Land Management


Ardhi na Maliasili


  • Mgawanyo wa Idara

Imegawanyika katika sekta mbili (2) ambazo ni sekta ya ardhi na sekta ya maliasili.

  • Sekta ya Ardhi - Imegawanyika katika sehemu nne (4) ambazo ni uthamini, mipango miji, upimaji na ramani na Ardhi utawala na usimamizi.
  • Sekta ya Maliasili – Ina sehemu mbili (2) ambazo ni misitu na wanyamapori
  • Majukumu ya Idara

Majukumu ya idara ya ardhi na maliasili kwa kuzingatia sehemu ya uthamini, mipango miji, upimaji na ramani, ardhi utawala na usimamizi, misitu na wanyamapori ni kama ifuatavyo:

  • Sehemu ya Uthamini

              Majukumu:

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la ardhi
  • Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye komputa
  • Kupokea maombi na kufanya uthamini wa ardhi, mazao,majengo na samani
  • Kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu
  • Kukadiria kodi ya ardhi
  • Sehemu ya Mipango miji

              Majukumu:

  • Kuandaa mipango ya maeneo yaliyoendelezwa kiholela/ urasimishaji wa makazi holela
  • Kuandaa michoro ya mipango miji kwa maeneo ambayo hajaendelezwa
  • Kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji
  • Kuchambua takwimu na taarifa kwa ajili ya maandalizi ya mipango mipya ya makazi
  • Kupokea michoro ya mipango miji na taarifa za maeneo ya ardhi yanayopendekezwa kuiva kwa ajili ya uendelezaji kimji
  • Kupokea na kuweka kumbukumbu za maombi ya mabadiliko ya matumizi na umegaji wa viwanja
  • Kuhakikisha kuwa mabadiliko ya matumizi ya ardhi yanaingizwa katika michoro
  • Sehemu ya Upimaji na Ramani

              Majukumu:

  • Upimaji wa viwanja, upimaji mashamba
  • Kuonyesha mipaka ya viwanja na mashamba
  • Kutatua migogoro ya ardhi
  • Kutoa elimu ya ardhi kwa wananchi
  • Sehemu ya Ardhi Utawala na Usimamizi

              Majukumu:

  • Kupokea maombi yanayohusu Hati miliki na kutunza usajili wa maombi husika
  • Kushughulikia utayarishaji wa nyaraka za kisheria
  • Kutoa notisi na kupendekeza ubatilishaji wa miliki za viwanja visivyoendelezwa kwa mujibu wa sheria
  • Kuwasiliana na wateja kuhusu Hati zilizotayarishwa
  • Kutoa ushauri na mapendekezo ya ugawaji wa viwanja na mashamba
  • Kufanya ukaguzi wa viwanja
  • Sehemu ya misitu

              Majukumu:

  • Kutoa elimu ya Hifadhi ya Mazingira, kuhimiza uoteshaji miche ya miti na upandaji miti
  • Kutoa elimu juu ya utengaji wa misitu ya asili na utunzaji wa misitu ya asili
  • Kusimamia hifadhi za misitu
  • Kutoa elimu ya hifadhi ya mazingira, ardhi na vyanzo vya maji.
  • Sehemu ya wanyamapori

              Majukumu:

  • Kufanya kazi za kuzuia ujangili
  • Kufuatilia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya uhifadhi wa wanyamapori
  • Kukusanya taarifa na takwimu za uhifadhi wanyamapori


Matangazo kwa umma

  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI MBALIMBALI ZA MAPATO YA HALMASHAURI August 30, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MAFUNZO ENDELEVU KAZINI NA SHULE BORA

    December 04, 2022
  • MBIO ZA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    September 30, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA WILAYA

    June 29, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA KIGOMA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    May 19, 2022
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa