• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

MAFUNZO ENDELEVU KAZINI NA SHULE BORA

Posted on: December 4th, 2022

Mkoa wa Kigoma ni miongoni mwa Mikoa 9 inayotekeleza mradi wa Shule Bora. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa Halmashauri 8 katika Mkoa wa Kigoma zinazotekeleza mradi wa Shule Bora. Kuanzia tarehe 1-11 Desemba 2022 Mradi wa Shule Bora umefanya mafunzo endelevu kazini kwa walimu wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Mafunzo hayo yalikuwa na mada iitwayo "HADITHI ZA MAFANIKIO ZA UJIFUNZAJI ZA MFANO"

Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Majadiliano

Mafunzo hayo yanafanyika katika Kata mbalimbali zikiwajumuisha walimu wa Kata husika. Mafunzo yanafanyika kwa makundi katika maeneo/vituo vilivyoainishwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, lengo la mafunzo haya ni kuwawezesha walimu kuibua Hadithi za Mafanikio za Ujifunzaji za Mfano. Hadithi za Mafanikio ni hadithi za kweli zikielezea namna ambavyo mwalimu aliweza kubuni mbinu ya kufanya wanafunzi wake waweze na uwezo mzuri katika ujifunzaji. Kupitia hadithi hizi walimu wanaweza kijifunza na kupeana uzoefu namna kuboresha na kuinua kiwango cha ufundishaji ili kuongeza uwelewa na ufaulu kwa wanafunzi.

Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Mafunzo

 

Pichani juu: Washiriki wa Mafunzo wakiendelea na Majadiliano


Pichani juu: Mshiriki wa Mafunzo akichangia Mada wakati wa Majadiliano


Pichani juu: Mshiriki wa Mafunzo akielezea  jambo wakati Majadiliano


Matangazo kwa umma

  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI MBALIMBALI ZA MAPATO YA HALMASHAURI August 30, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MAFUNZO ENDELEVU KAZINI NA SHULE BORA

    December 04, 2022
  • MBIO ZA MWENGE HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    September 30, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA WILAYA

    June 29, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA KIGOMA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    May 19, 2022
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa