• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

MAADHIMISHO YA SIKU 365 ZA MH. SAMIA SULUHU HASSAN MADARAKANI

Posted on: April 27th, 2022

Wilaya ya Kigoma imeadhimisha mwaka mmoja wa uongozi wa Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wakishirikiana na wadau mbalimbali wa Wilaya ya Kigoma. Maadhimisho hayo yamefanyika katika uwanja wa Mwanga Community Centre katika manispaa ya Kigoma Ujiji huku mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh. Thobias Andengenye. Maadhimisho hayo yameudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, vyama vya siasa, taasisi za Serikali na zisizo za Serikali, viongozi wa dini, watumishi wa Serikali pamoja na wananchi wa Wilaya ya Kigoma.

Pichani juu: Viongozi wa Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh. Thobias Andengenye (Katikati mwenye Suti)


Wananchi wakiwa wamejitokeza kuadhimisha siku 365 za Mh. Samia Suluhu Hassan madarakani.


Dhumuni la maadhimisho hayo ni kuonesha shughuli za maendeleo zilizofanyika katika Wilaya ya Kigoma kwa kipindi cha mwaka mmoja wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania madarakani. Sambamba na maadhimisho hayo, pia kulikuwepo na maonesho kutoka Taasisi zinazopatikana Wilaya ya Kigoma pamoja na vikundi mbalimbali vya ujasiliamali kutoka Halmashauri mbili zinazopatika katika Wilaya ya Kigoma.

Pichani juu: Banda la TANAPA katika maadhimisho ya siku 365 za Mh. Samia Suluhu Hassan madarakani

Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Katikati mwenye Tai Nyekundu) akipatiwa maelezo kuhusu ufugaji wa Samaki kutoka kwa Mtaalamu wa Uvuvi Bw. Jumanne Yassini (Wa tatu kutoka kulia mwenye Shati Nyeupe). Kushoto kwa Mkuu wa Mkoa ni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe akifuatiwa na Mbunge wa Kigoma Mjini Mh. Kilumbe Shaban Ng'enda


Maadhimisho hayo ya mwaka mmoja wa uongozi wa Mh. Samia Suluhu Hassan yaliambatana na burudani mbalimbali kutoka vikundi tofauti tofauti vinavyopatikana Wilaya ya Kigoma pamoja na mwanamuziki Peter Msechu kutoka Dar es Salaam.

Pichani juu: Wananchi wakicheza na mwanamuziki Peter Msechu

Kikundi cha Ngoma kikitumbuiza wakatai wa Maadhimisho ya Siku 365 za Mh. Samia Suluhu Hassan madarakani


Katika taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe, kwa siku 365 jumla ya miradi yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 181 imeelezwa kutekelezwa na mingine ikiendelea kutekelezwa katika Wilaya ya Kigoma. Miradi hiyo ni katika sekta ya Elimu, Afya, Kilimo, Barabara, Mikopo kwa Vijana na wanawake, Maji, masuala ya kiutawala pamoja na sekta zingine katika Wilaya ya Kigoma.

Picha juu: Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye akiongea na wananchi wa Wilaya ya Kigoma katika viwanja vya Mwanga Community Cetre wakati wa maadhimisho ya siku 365 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pichani juu: Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mh. Joseph Nyambwe akiongea na wananchi wa Wilaya ya Kigoma katika viwanja vya Mwanga Community Cetre wakati wa maadhimisho ya siku 365 za Rais wa Jamhuri ya Muungano

Pichani juu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba akiongea na wananchi wa Wilaya ya Kigoma katika viwanja vya Mwanga Community Cetre wakati wa maadhimisho ya siku 365 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Katika maadhimisho hayo, Wilaya ya Kigoma ilitoa zawadi kwa Mh. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kufikia mafanikio mbalimabli kwa kipindi cha mwaka mmoja tangu aingie madarakani.

Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Katikati) pamoja na viongozi wengine wakiwa wameshikilia zawadi ya picha kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Matangazo kwa umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II March 13, 2023
  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 122 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    March 30, 2023
  • MEMKWA KUSAIDIA WALIOKOSA ELIMU KWA MFUMO RASMI

    March 21, 2023
  • BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA KIGOMA LAFANYA MKUTANO

    March 15, 2023
  • PROGRAM YA SHULE BORA YAFANYA MAFUNZO YA USHIRIKIANO WA WAZAZI NA WALIMU (UWaWa)

    February 28, 2023
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa