• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

ZAIDI YA TSH 60,000,000/= ZIMETENGWA KWA AJILI YA KUIMARISHA LISHE

Posted on: February 7th, 2024

By mwifyusil@

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma imetenga fedha 60,062,500/= kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa lishe katika Halmashauri ya Kigoma.

Akiongea Mratibu wa lishe, Ndugu James Swai katika kikao cha kamati ya lishe ya Halmashauri ya wilaya kilichofanyika leo tarehe 07, februari, 2024, Amesema tumejipanga vizuri kuhakikisha hilo Halmashauri ya wilaya ilipanga kutoa Tsh 5,005,208.33, kila mwezi ili kufikia malengo ya kutoa kiasi cha Tsh 60,062,500/= kwa mwaka ili kupunguza tatizo la udumavu na utapiamlo.

Aidha amesema katika robo ya kwanza ya mwaka kamati ya lishe wilaya imetekeleza shughuli mbalimbali za lishe ikiwa ni Pamoja na utoaji wa ushauri wa lishe kwa jamii katika vijiji zaidi ya 41, Utoaji wa dawa za kuongeza wekundu wa damu(feFO) kwa wanawake waja wazito,kuazimisha siku ya saliki duniani kwa vijiji 41, Kuazimisha siku ya mayai duniani katika kata ya bitale na kugawa mayai zaidi ya 700’ kubaini Watoto wenye udumavu kwa kupima Watoto 23756.

Hata hivyo mratibu amesistiza kuhakikisha kila shule inatoa chakula shuleni, aziwataka idara zote zishirikiane kushawishi wazazi kuchangia chakula  shuleni.

Mafisa lishe wakiwa na CC katikati wakifuatilia  kikao cha  Lishe.

Wadau na wataalamu wakifuatilia kikao cha Lishe



Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani