• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MTITIO WA ARDHI KATA YA NYARUBANDA WATAKIWA KUACHA KUFANYA SHUGHULI ZA KIBINADAMU KATIKA MAENEO HAYO

Posted on: April 12th, 2024

Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma Jabiri Timbako amewataka wananchi  wa kijiji cha Nyarubanda, kata ya Nyarubanda kuhama katika eneo lililoathirika na mpasuko wa ardhi uliosababisha baadhi ya nyumba kupasuka.

picha za nyumba zilizoathirika na mtitio wa ardhi

Mpasuko huo wa ardhi uliotokea jana  umeathiri eneo lenye ukubwa wa zaidi ya kilometa 20 uliosababisha uharibifu wa nyumba nne zenye takribani watu 20 sambamba na mashamba yao.

Kaimu Mkurugenzi ameyasema hayo alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa akiambatana na mkuu wa wilaya hiyo pamoja na viongozi wengine wa kamati ya ulinzi na usalama.

“Nataka wananchi waondoke mara moja katika maeneo haya  kwani sio salama tena kwa shughuli za kibinadamu” Amesema Timbako.

Naye mkuu wa wilaya ya Kigoma  Salum Kalli   amesema  serikali inashughulikia changamoto hiyo iliyojitokeza ili kuhakikisha  wahanga wanawezeshwa  ili waweza kukidhi mahitaji yao ya kila siku ikiwa ni pamoja na kutafuta makazi ya muda kutoka kwa majirani zao.

Mkuu wa wilaya akizungumza na wananchi wa eneo liloathiriwa na mtitio wa ardhi


 Amesema kamati ya maafa tayari imeanza kuchukua hatua kwa kufanya tathimini ya uharibifu katika maeneo hayo kwa hatua zaidi na kuwataka wananchi kuzingatia maelezo ya watalamu ya kuacha mara moja kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo ili kuepuka madhara zaidi  kwani mpasuko bado unaendelea

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani