• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

UZINDUZI WA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

Posted on: March 24th, 2022

Uzinduzi wa utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi umezinduliwa tarehe 24 Machi, 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe. Uzinduzi huo uliambatana na kikao kazi ili kutoa maelekezo kwa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhusu utekelezaji wa zoezi hilo. Kikao kazi hicho kimeudhuriwa pia na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mh. Joseph Nyambwe, Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Katika hotuba yake, Mh. Mkuu wa Wilaya ya Kigoma amesisitiza kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kukamilisha zoezi hilo kwa wakati. Amesisitiza kwamba zoezi hilo ni la Kitaifa na ni lazima likamilike mwezi Mei, 2022. Lakini pia kukamilika kwa zoezi hilo litarahisisha zoezi linalokuja la Kitaifa la Sensa ya watu na makazi. Mh. Mkuu wa Wilaya ya Kigoma pia amewashukuru wajumbe wa kamati ya uratibu wa zoezi hilo la Mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe (Wa pili kutoka kulia) pamoja na viongozi wengine wakishiriki kikao kazi. Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Kamati ya utekelezaji mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Petronila Gwakila


Watendaji wa Kata na Vijiji, viongozi na wageni waalikwa wakishiriki kikao kazi ili kutekeleza mfumo wa Anwani za Makazi.


Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe (wa pili kutoka kulia mwenye nguo nyeupe) katika zoezi la uzinduzi wa utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwenye nyumba iliyopewa namba moja (01) katika Kata ya Mahembe.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani