• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

Posted on: July 31st, 2025


Serikali imejenga mabweni 2 katika Shule ya Sekondari Kaseke iliyopo Kata ya Simbo kwa thamani ya shilingi milioni 58 ili kuwaondolea Wanafunzi adha kusafiri mwendo mrefu kufuata huduma ya Elimu.



Mabweni haya yamewawezesha Wanafunzi kuwa na utulivu na kupata muda mzuri wa kujisomea na hatimaye kufanya vizuri kwenye masomo yao na kufaulu mitihani.


Huu ni mwendelezo wa uboreshaji wa Miundombinu katika Sekta ya Elimu kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma unaofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususan katika kipindi hiki cha Uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • KIGOMA D.C &KAKONKO D.C WABADILISHANA UZOEFU UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • D.C DKT.CHUACHUA APOKEA MADAWATI 100 KUTOKA KAMPUNI YA SAVONOR TANZANIA
  • SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU KWA MBEGU ZA MAZAO MBALIMBALI KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani