• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

SERIKALI KUENDELEA KUSIMAMIA MPANGO WA KUHIFADHI MAZINGIRA KWA AJILI YA USALAMA WA MAZINGIRA KWA KIZAZI CHA SASA NA CHA BAADAE

Posted on: September 15th, 2024

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Godfrey Mnzava amesema Serikali itaendelea kusimamia Sera na mipango ya uhifadhi wa Mazingira kwa ajili ya usalama wa Mazingira kwa kizazi cha sasa na kijacho.


Mnzava ametoa kauli hiyo alipotembelea na kukagua eneo la uhifadhi wa Mazingira katika Shule ya Sekondari ya kutwa Msimba iliyopo Halmashauri ya Kigoma.


Amesema kunachangamoto ya uharibifu wa Mazingira kutokana na matumizi makubwa ya miti kwa ajili ya nishati ya kupikia.


Amesema Taaisi za Umma na watu binafsi wanapaswa kujikita katika matumizi ya Nishati safi ili kuepuka uharibifu mkubwa wa Mazingira.

Katika hatua nyingine kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge ameitaka jamii kuepuka ukatili wa kijinsia ikiwamo manyanyaso dhidi ya wanawake na watoto unaopelekea ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.


Jamii imejenga utaratibu wa kumaliza matatizo yao kifamilia hali inayosababisha wakosefu kuendelea kutekeleza vite do vya kikatili, hivyo pale inapobainika vitendo hivyo jamii ijenge utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama.


Amesema baadhi ya watu baada ya kutendewa vitendo vya ukatili wa kijinsia hukaa kimya, jambo linalosababisha vitendo hivyo kuwa endelevu na vyenye kuendelea kuleta madhara kwa jamii.


Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Halmashauri ya Kigoma umezindua mradi wa Maji Kidahwe, umezindua vyumba vinne vya madarasa katika Shule ya Msingi Kidahwe, uzituzi wa kotuo cha mafuta, kutembelea mradi wa uhifadhi wa Mazingira Shule ya Sekondari Msimba, umezindua daraja la mawe  Mgaraganza-Bweru sambamba na kutembelea Klabu za wapinga rushwa katika Shule ya Sekondari Mwandiga.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani