• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MTITIO WA ARDHI WAZUA HOFU KUBWA KWA WANANCHI WA KATA YA NYARUBANDA WILAYANI KIGOMA

Posted on: April 12th, 2024

Wananchi wa Kijiji cha nyarubanda kata ya nyarubanda iliyoko halmashauri ya wilaya ya Kigoma, wamejikuta wakiwa kwenye hofu na mashaka makubwa, baada ya kipande cha ardhi kinachokadiliwa, kuwa na ukubwa wa zaidi ya  kilometa 20 kutitia na kusababisha mpasuko Mkubwa katika ardhi, ambao umepelekea uharibifu wa makazi na mashamba ya wananchi hao, hali hiyo imezua hofu kwa wananchi hao kwani mpaka sasa kaya kadhaa zimekosa makazi na mashamba yao yameathiliwa na mpasuko huo.

Picha kuonyesha mpasuko uliyosababishwa na mtitio wa ardhi nyarubanda


Picha kuonyesha makazi ya wananchi waliothiliwa na mtitio wa ardhi.


Hata hivyo tukio hilo limewashitua viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma wakiongozwa na mkurugenzi wa halmashauri ya Kigoma Ndg. Chiriku Hamisi Chilumba, wamefika na kuyatembelea maeneo yalioathiriwa na tukio hilo na kuwataka wananchi waondoke mara moja katika maeneo hayo , kwani sio salama tena kwa shughuli za kibinadamu.

Naye mkuu wa wilaya ya Kigoma Mh. Salum Kalli akiongozana na kamati ya usalama ya wilaya ya Kigoma, amefika na kutembelea maeneo hayo na kuwataka wananchi wasiwe na hofu kwani  serikali ipo na inalifuatilia kwa ukaribu tukio hilo na kuwahakikishia wahanga wa tukio hilo watawezeshwa ili kuweza kukizi mahitaji yao ya kila siku ikiwa ni Pamoja na kuwatafutia makazi ya muda kutoka kwa majirani zao.

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Salum Kalli akiwa katika eneo la Kijiji cha nyarubanda lililoathiliwa na mtitio wa arthi.


Pia Mkuu wa wilaya amesema kamati ya maafa tayari imeanza kuchukua hatua kwa kufanya tathimini ya uharibifu katika maeneo hao kwa hatua zaidi na kuwataka wananchi kuzingatia maelezo ya watalamu ya kuacha mara moja kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo kwani mpaka sasa hali sii shwali kwani mpasuko bado unaendelea.

Naye diwani wa kata ya nyarubanda Gabriel chobariko amewashukuru viongozi wa halmashauri Pamoja na mkuu wa wilaya kwa kufika katika maeneo hayo amesema “tunamshukuru mweshimiwa Rais Samia Suruhu Hassani kwa kutuletea viongozi  hawa,  imekuwa kama zawadi kwetu ,nimekuwa diwani kwa miaka nane,  lakini sijawahi kuona viongozi kama hawa, kwani wamekuwa sehemu ya jamii , kipaombele chao ni kutatua kero za wananchi , Mkuu wa wilaya anamwaka mmoja tu lakini ametembela kata hii mara tano na kutatua kero zetu,mkurugenzi ana miezi mitatu tu, lakini amekuwa msitari wa mbele kutatua kero zetu na jana asubuhi na mapema baada ya kusikia hili alifika na kamati yake, Mungu awabariki ”.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani