• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MOHAMED MCHENGERWA ATOA MIEZI MITATU KUKAMILISHA KITUO CHA AFYA KAGUNGAA

Posted on: August 13th, 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI,Mohamed Mchengerwa ametoa muda wa miezi mitatu kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kutoa fedha milioni 300 ili kukamilisha ujenzi wa Kituo cha afya cha Kagunga katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ili kuwaondolea adha wananchi ya kufuata huduma za afya nchi jirani ya Burundi.


Agizo halo limetolewa na waziri huyo wakati akiongea na wananchi pamoja na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma   mara baada ya kukagua ujenzi wa jengo la Utawala wa Halmashauri ya Wilaya ya kigoma na kuridhishwa na kasi ya ujenzi huo.

Amesema hahitaji kuona wananchi wa Tanzania wakiendelea kupata huduma nchini Burundi badala yake wananchi wa wa nchi hiyo ndio waje kupata huduma nchini kutokana na kuboresha huduma bora za afya

Hoja ya kumalizika kwa Kituo hicho ilitolewa na Mwenyekiti wa halmashauri   ya Kigoma Joseph Nyambwe ambaye alisema ukosefu wa kituo cha afya katika kata hiyo ni changamoto kwa wakazi hao ambapo inawalazimu kuingia gharama zaidi wakifuata huduma za afya nchi jirani ya Burundi

Hata hivyo baadhi ya Wananchi walipata fursa ya kueleza changamoto mbalimbali  zinazowakabili ikiwa ni pamoja na mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Mahembe, ukosefu wa hosteli Shule ya sekondari Mgawa  na kuomba serikali kuzipatia ufumbuzi.

Katika ziara hiyo Waziri Mchengerwa mbali na kuongea na watumishi wa umma pia ametembelea na kukagua ujenzi wa daraja la kilembela katika kijiji Cha Mgaraganza mradi unayosimamiwa na TARURA, ujenzi wa shule mpya eneo la Kazegunga na ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri ya wilaya ya Kigoma.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani