• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MKUU WA WILAYA AITAKA JAMII KUTAMBUA FURSA ZA KIMAENDELEO KWA WANAWAKE

Posted on: March 1st, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kigoma, Salum Kalli amewataka wadau wa masuala ya kijinsia kushirikiana na halmashauri kutoa elimu kwa jamii ili kujenga uelewa kuhusu changamoto zinazokwamisha maendeleo ya wanawake na usawa wa kijinsia.

Amesema ni muhimu jamii ikatambua fursa zilizopo za kimaendeleo zitakazomuwezesha mwanamke kujikwamua kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ametoa wito kwa wadau wote kuwekeza katika masuala ya wanawake ili kuhamasiaha na kuharakisha maendeleo ya taifa na jamii kwa ujumla kama ilivyo katika kauli mbiu ya maadhimishio ya siku ya wanawake duniani kwa mwaka 2024/2025.


Mwenyekiti wa mtandao wa polisi wanake mkoa wa Kigoma akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

Mwenyekiti wa mtandao wa polisi wanawake mkoa wa Kigoma akizungumza na waadishi wa habari katika kikao cha ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kilichofanyika katika ukumbi wa RAS

Katika hatua nyingine mwenyekiti wa mtandao wa polisi wanawake (TPF) ASP Rosemary Kitwala amesema ni muhimu wanawake kutoa taarifa za uhalifu zinazofanywa na waume zao kwa usiri ili kuhakikisha haki inatendeka na kuwaasa wanaume kufika katika dawati la jinsia na Watoto ili kutoa kero zao endapo wananyanyasika.

Kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kimkoa yatafanyika katika kata ya Makere halamsahuri ya wilaya ya Kasulu mnano tarehe 08 Machi 2024 na kwa halmashuri ya wilaya ya Kigoma yatafanyika kata ya ziwani Kijiji cha Mtanga mnamo tarehe 06 Machi 2024.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani