• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA AMEKAGUA MADARASA YA UVIKO 19.

Posted on: November 21st, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Manumba amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa madarasa chini mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO 19. Mkurugenzi ametembela shule zote zinazojenga vyumba vya madarasa na jumla ya vyumba 69 vya madarasa vinajengwa kwa gharama ya Tsh. Bilioni 1.38 katika Halmashauri hiyo. Ujenzi umefikia hatua mbalimbali ikiwa ni hatua ya kupaua na baadhi ukamilishaji wa Boma.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Manumba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa pamoja na wataalamu kutoka Halmashauri hiyo katika ukaguzi wa ujenzi vya vyumba sita (6) vya madarasa katika shule ya sekondari Mgawa iliyopa Kata ya Mahembe siku ya tarehe 20 Novemba, 2021.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Manumba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na wataalamu kutoka Halmashauri hiyo katika ukaguzi wa mradi ujenzi wa vyumba saba (7) vya madarasa katika shule ya sekondari Kasima iliyopo  Kata ya Simbo siku ya tarehe 20 Novemba, 2021.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Manumba (wa nne kutoka kulia) akiwa pamoja na wataalamu na walimu wa shule ya sekondari Mwandiga wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa vyumba vitatu (3) vya madarasa katika shule hiyo iliyopo kata ya Mwandiga siku ya tarehe 20 Novemba, 2021.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Manumba (wa pili kutoka kulia) na wataalamu kutoka Halmashauri hiyo wakishiriki kusogeza mchana pamoja na vibarua wa ujenzi katika shule ya sekondari Kaseke iliyopo Kata ya Simbo siku ya tarehe 20 Novemba, 2021.


Sehemu ya jengo la vyumba sita (6) vya madarasa katika shule ya sekondari Mgawa iliyopo Kata ya Mahembe likiwa hatua ya kufunga Rinta na kukamikisha Boma hadi kufikia tarehe 20 Novemba, 2021. Gharama ya vyumba hivyo ni Tsh. Milioni 120.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani