• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MAAFISA UANDIKISHAJI KATA JIMBO LA KIGOMA KASIKAZINI WANOLEWA

Posted on: July 13th, 2024

Tume huru ya taifa ya Uchaguzi imetoa mafunzo kwa maafisa uandikishaji wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma jimbo la Kigoma Kaskazini  ili kuwajengea uwezo wa kuwafundisha waandikishaji ngazi ya kituo.

Akizungumza wakati wa mafunzo afisa uandikishaji wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma Linus Skainda amesema mafunzo hayo yatafanyika kwa muda wa siku mbili, tarehe 13/14 Julai 2024 katika ukumbi wa Nzimano uliopo mjini Kigoma na kisha mafunzo ngazi ya kituo yataanza kufanyika tare 16/17 Julai 2024.


Maafisa Uandikishaji wa kata wakiapishwa wakati wakipatiwa Mafunzo ya uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura

Skainda ameeleza kuwa majukumu mbalimbali yameshafanyika katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ikiwemo kutembelea vituo vyote vya uchaguzi 132, kufanya mikutano na vyama vya siasa 19 vilivyopo katika Jimbo hilo na kuhamasisha wananchi juu ya umuhimu wa kujitokeza kwaajili ya kuboresha taarifa zao.

“Maafisa uandikishaji wameaapishwa Leo tarehe 13 Julai, 2024 chini ya hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Kigoma Eva Mushi,  maafisa hawa baada ya mafunzo watawafundisha maafisa ngazi ya vituo, lakini pia Leo tumeanza  matangazo kwa njia ya magari na  yatakamilika mwisho wa zoezi tarehe 27 Julai 2024” amefafanua Skainda.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, mratibu wa uboreshaji wa Daftari mkoa, Hussein Moshi amewataka washiriki kuelewa vizuri kila wanalofundishwa kwa sababu zoezi hilo ni maalumu na linahitaji umakini katika utekelezaji wake

Amewaasa kuwa wakati wa uboreshaji wa taarifa hizo watumie lugha nzuri na kuwaelekeza wananchi vizuri ili wasiharibu kazi na sifa ya zoezi hilo na kwamba kokote watakapokutana na changamoto katika vituo watoe taarifa kwaajili ya utatuzi wa changamoto hizo

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani