• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI

Posted on: March 13th, 2025



Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe.Dkt.Rashid Chuachua amewataka Wazazi kuchangia chakula shuleni ili kuwawezesha wanafunzi kupata mlo wakati wakiendelea na masomo.


Dkt.Chuachua ameyasema hayo leo tarehe 12 Machi,2025 wakati wa Kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa Afua za Lishe cha Robo ya Pili kuanzia Mwezi Oktoba hadi Disemba kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Amesema ifikapo tarehe 15 Machi,2025 Wanafunzi kwenye shule zote wanapaswa wawe wameanza kuhudumiwa chakula ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe.Thobias Andengenye alilolitoa hivi karibuni.


Aidha Dkt.Chuachua amewasisitiza Watendaji wa Kata mbalimbali kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha zoezi hilo huku akiongeza kuwa Mzazi yeyote atakayebainika kukwamisha suala la huduma ya chakula hatavumiliwa.


"Ukiona kundi la Wazazi linashindwa kuchangia chakula shuleni kwaajili ya watoto wao,tambua kuna mzazi kinara katika kundi hilo anayewapotosha wenzake,tuchukue hatua" amebainisha Dkt.Chuachua


Akitoa taarifa katika kikao hicho Mratibu wa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi.Sarah Kibindu amesema wamezingatia maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Wilaya na kueleza kuwa Halmashauri itaendelea kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa Mkataba wa Lishe ngazi ya Halmashauri ili kuepukana na changamoto ya udumavu na utapiamlo.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani