• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

KATIBU TAWALA WA WILAYA YA KIGOMA AAGIZA KODI YA DAGAA IBAKI MOJA

Posted on: March 8th, 2024


Na mwandishi wetu

Katibu wa tawala wa halmshauri ya wilaya ya Kigoma Mgwanwa Nzota, ameziagiza mamlaka zinazohusika na tozo za mazao ya samaki na dagaa kukubaliana aina moja ya tozo kwa wajasiamali wa bidhaa hizo ili kuondoa usumbufu.

Agizo hilo amelitoa leo tarehe 6 Machi 2024 katika maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani ambayo kiwilaya yamefanyika kata ya Ziwani, kijiji cha Mtanga, baada ya wanawake wa kata hiyo kulalamika namna wanavyoumizwa na ukusanyaji wa tozo kutoka malmlaka tofauti  tofauti.

“Hatuna sababu ya kuwasumbua akina mama wajasiriali kwa namna tunavyowasumbua,  kama kuna haja ya wao kulipia ushuru halmashauri au tumeona kuna haja ya wao  kulipia BMU sisi ndio serikali , tukae pamoja, tukokotoe pamoja huo ushuru na huyu  mwanamke  awe analipa ushuru mmoja tu, sio alipie kwenye kila malamka” Amesema Katibu tawala

Awali wanawake hao walilalamika kutozwa tozo na mgambo, wasimamizi wa rasilimali za ziwa (BMU),na malaka za halmshauri jambo ambalo linafanya waone kuwa ni usumbu na linawafanya waone kudhulumiwa haki ya kufanya kazi kwa uhuru.

Akizungumza kwa niaba ya wanawake hao, Zuwena Rashid, amesema endapo agizo hilo litatekelezwa kwa wakati litatatua hali ya unyanyasaji inayoendelea katika biashara hiyo.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani