• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAFANYA KIKAO CHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

Posted on: May 12th, 2023

Na Mwandishi wetu:

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imefanya kikao cha Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Salum Kalli. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma  kikiwahusisha Maafisa Watendaji wa Kata, wakuu wa Idara na Vitengo pamoja, Mkuu wa Wilaya pamoja na viongozi wengine wa Wilaya.


Pichani juu: Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Salum Kalli akishikiri kikao

cha Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Salum Kalli amewasisitiza Maafisa Watendaji wa Kata kuendelea kuwaibua watoto wenye changamoto ya lishe. Mkuu wa Wilaya amesisitiza Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kuendela kutenga bajeti Shilingi elfu 1 kwa kila mtoto kwa ajili ya lishe. Pia ameendela kuwakumbusha wataalamu na viongozi kuendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa jamii ili kupata jamii yenye lishe bora.

Kikao hicho kimepitia mkataba wa lishe ili kuona wapi Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imefanikiwa na wapi bado kuna changamoto na kuziwekea mikakati ya kuzitatua ili kufikia malengo.


PichanI juu: Wajumbe wakishiriki kikao cha utekelezaji wa mkataba wa lishe

katika halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Wakihojiwa kwa nyakati tofauti baadhi ya maafisa watendaji wa Kata wamekili kuwepo changamoto mbalimbali ambazo zinakwamisha kufikia malengo sahihi, lakini wanaendela kutoa elimu kwa jamii ili ione umuhimu wa lishe bora na pia jamii ishiriki moja kwa moja ili kufikia malengo.


Pichani juu: Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

akiongea na washiriki wa kikao cha utekelezaji wa Mkataba wa lishe. 


Nae Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bw. James Swai ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa kuendela kutenga bajeti na kutoa shilingi 1 kwa kila mtoto ili kutekeleza mkataba wa lishe. Lengo ni kuhakikisha jamii inapata lishe bora na kupunguza na kuwaondoka kabisa tatizo la utapiamlo.


Pichani juu:  Wajumbe wa kikao wakiendelea na kikao katika

ukumbi wa Halmashauri ya Wialya ya Kigoma


Pichani juu: Wajumbe wa kikao wakiendelea na kikao katika

ukumbi wa Halmashauri ya Wialya ya Kigoma


Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani