• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

Ardhi na Maliasili


Halmashauri imeendelea na hatua za uboreshaji wa maeneo ya makazi na biashara, katika kipindi cha mwaka 2015/16 jumla ya viwanja 15 vilipimwa katika kijiji cha Kidahwe na vibanda 400 vilipimwa katika eneo jipya la mnada lililoanzishwa na Halmashauri katika kijiji cha Kamara. Halmashauri ilikuwa na mkakati wa kutekeleza mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji vyote 46, mpaka kufikia Juni, 2016 vijiji ambavyo vimefanyiwa mpango wa matumizi bora ya ardhi ni 25, sawa na 52.1% ya vijiji vyote. Zoezi la ugawaji wa vijiji wakati mwingine limekuwa ni changamoto kwa mpango wa matumizi bora ya ardhi uliofanyika katika vijiji vilivyogawanywa.

Halmashauri ya wilaya ya kigoma kwa kushirikiana na shirika la BTC imekuwa ikitekeleza mradi wa BTC ulioanza mwaka 2013 na kumalizika 2016. Mradi wa BTC ulifanikiwa kutoa mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki katika vijiji 6 vya Bitale, Nkungwe, Mahembe, Mgaraganza, Simbo, na Kidahwe. Pamoja na utoaji wa mafunzo BTC wameweza kujenga kituo cha uzalishaji wa Malkia wa nyuki, kituo hicho kimejengwa katika kijiji cha Kidahwe.

Halmashauri ina jumla ya vikundi 20 vya ufugaji nyuki vyenye jumla ya mizinga 904 kati ya hiyo 788 ni ya kienyeji/ Asili na 116 ni ya kisasa. Uzalishaji wa asali kwa mwaka kwa vikundi vilivyopo unakaribia kufikia kiasi cha lita 308.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani