• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA WILAYA

Posted on: June 29th, 2022

Kamati ya siasa ya Wilaya ya Kigoma Vijijini imefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Miongoni mwa miradi ilioyotembelewa ni pamoja na Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Madarasa ya UVIKO katika shule ya sekondari Kidahwe, Daraja la Samwa lililopo Kata ya Kidahwe ambalo lipo chini ya TARURA, Barabara ya Nkungwe iliyopo chini ya TARURA na mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Chankabwimba ambao upo chini ya RUWASA. Kiongozi wa msafara wa ziara hiyo ambaye pia ni Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Kigoma VIjijini Ndg. Rashid Semindu amesisitiza kuendelea kuisimamia miradi hii vizuri ili iweze kuwanufaisha wananchi.

Pichani juu ni matukio mbaliambali wakati wa ziara ya Kamati ya siasa ya Wilaya ya Kigoma vijijini pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba (mwenue Gauni la Kitenge) wakiongea na wananchi waliojitokeza katika eneo ilipojengwa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Pichani juu ni matukio mbaliambali wakati wa ziara Kamati ya siasa ya Wilaya ya Kigoma vijijini pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba (mwenye Gauni la Kitenge) katika mradi wa hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Pichani juu ni Muonekano wa majengo ya wagonjwa wa nje (OPD) na jengo la maabara katika Hosipitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Pichani juu ni ukaguzi wa mradi wa Maji kijiji cha Chankabwimba


Pichani chini ni matukio mbaliambali wakati Kamati ya siasa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba wakikagua mradi wa madarasa manne katika shule ya sekondali Kidahwe yaliyojengwa kwa fedha za UVIKO  katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani