• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

WANANCHI WATAKIWA KUACHA IMANI POTOFU KUHUSU CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: April 19th, 2024

Akifungua kikao cha afya ya msingi Mkuu wa wilaya ya kigoma Salum Kalli amesema kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi HPV Kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi miaka 14 , chanjo hii inatajiwa kuanza kutolea kuanzia tarehe 22 April 2024 hadi tarehe 28 April 2024. Ambapo wilaya ya kigoma inatajiwa kuchanja Zaidi ya wasichana 42,414  ambapo wasichana 20,604 kwa upande wa manispaa ya kigoma na wasichana 21,810 halmashauri ya kigoma.

wajumbe wakiwa wamesimama kumkaribisha mkuu wa wilaya ya kigoma salum kalli kwenye  kikao cha chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri kuanzia miaka 9 hadi 14


Amesema kalli lengo la serikali ni kuwapa chango wasichana wote wenye umri wa miaka 9 hadi miaka 14 na chanjo hii nisalama na inatolewa bure bila malipo, wapo watu wamekuwa wakiwatisha watu na kuwambia chanjo hii si salama hii imethitishwa na wataalamu kuwa chanjo hii ni Bora na ni salama Kwa watoto wetu kama ilivyo kwa chanjo zingine.

Zoezi hili litafanywa na watoa huduma za afya Kwa kushirikia na walimu, watakwimu katika vituo vya kutolea huduma mashuleni na kwenye jamii, watoto wengi wenye umri huu wanapatika shule za msingi,shule za sekondari, viuoni tuhakikishe tunawafikia wote katika maeneo yote ili kufika malengo ya kuchanja Zaidi ya wasichana 42,414.

Mkuu Kalli pia ametumia nafasi hiyo kuwaombea viongozi wa dini zote wawasitize waumini na kuwa hamasisha wananchi katika nyumba zao za ibada kushiriki kikamilifu katika Zoezi hili la chanjo kwa wasichana wote wenye umri wa miaka 9 hadi 14

wajumbe wakisikiliza hoja za kikao cha chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi 

Naye Kaimu mganga Mkuu wa halmashauri ya wilaya ya kigoma Aswile Mwambembe amesema tunatoa kinga zidi ya kirusi anayeitwa Huma. Papilloma Virus ambaye ana sababisha saratani mbalimbali ikiwe saratani ya mlango wa kizazi, saratani hii ndio inaongoza kusababisha vifo vya wanawake wengi Zaidi niwahakikishie kuwa chanjo hii ni salama na tayari imefanyiwa majaribio mkoani Kilimanjaro, walengwa ni wasichana waliozaliwa mwaka 2010 ha mwaka 2015

wajumbe wakisikiliza hoja za kikao cha chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi

Chanjo hii inatolewa bure kwa njia ya sindano kwenye msuli wa mkono wa kushoto ambapo mlengwa anatakiwa kupewa dozi moja pekee kwa wasichana wasio na maambukizi ya virusi vya ukimwi na wasichana walio na virus vya ukimwi utaratibu wa kawaida utaendelea wa kupewa dozi katika vipindi vitatu.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani