• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

WAKULIMA I500 KIGOMA DC WAFIKIWA NA ELIMU YA SHAMBA DARASA

Posted on: June 1st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani (FAO)imepeleka Elimu ya shamba Darasa kwa wakulima zaidi ya 1500 itakayowawezesha kutekeleza shughuli za kilimo kuendana na mabadiliko ya tabianchi na kuongeza tija.


Hayo yamesemwa leo tarehe 12 Juni,2025 na Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhan Mpasiwakomu baada ya kukabidhi Baiskeli 20 kwa Viongozi wa Wakulima katika 5 za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Bw.Mpasiwakomu ametaja Kata zilizofikiwa chini ya Mradi wa Pamoja wa Kigoma kuwa ni Kata za Simbo,Mungonya,Bitale,Kalinzi na Nyarubanda ambapo kupitia Viongozi wa Wakulima Elimu ya Shamba Darasa imeendelea kupelekwa ili kuwawezesha Wakulima kufanya kilimo cha tija.


Ameongeza kuwa Baiskeli 20 walizokabidhiwa Viongozi wa Wakulima ni ufadhili wa Serikali ya Norway ili kufikia vijiji na vitongoji kwa urahisi na kusambaza elimu ya ugani kwa wakulima,wakati huu ambapo Serikali inatekeleza mpango wa Kilimo awamu ya pili ambao unategemea wadau.


"Juhudi ambazo Shirika la Chakula Duniani imefanya kwa Halmashauri yetu itawezesha kuwepo kwa Usalama wa chakula,Lishe ya kutosha na kupunguza udumavu". amesisitiza Bw.Mpasiwakomu.


Kwa upande wao baadhi ya Viongozi wa Wakulima wamesema Baiskeli walizopewa zitaongeza Kasi ya utendaji kazi na kutatua changamoto ya kuwafikia wakulima kwa wakati kwenye usambazaji wa elimu ya ugani hususan kwenye maeneo yasiyofikika kwa urahisi.


@ortamisemi

@kigomars

@maelezonews

@msemajimkuuwaserikali

@official_taritanzania

@ikulu_mawasiliano

@samia_suluhu_hassan

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani