• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO

Posted on: July 12th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe.IGP(mst) Balozi Simon Sirro amewataka Wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kuvutia wawekezaji katika sekta ya kilimo,ufugaji na fusra za Biashara ili kukuza kipato cha Wananchi na kukuza ustawi wa maisha.


Balozi Sirro ametoa kauli hiyo leo tarehe 11 Julai,2025 wakati akizungumza na Wananchi na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwenye mwendelezo wa Ziara yake ya kutembelea Halmashauri mbalimbali za mkoa wa Kigoma.


Mhe.Sirro amesema kwa kutumia Wataalamu wa kilimo na Biashara katika Halmashauri,Wananchi wanaweza kujifunza mbinu mbalimbali zitakazowawezesha kukuza shughuli hizo na kuongeza tija kwaajili ya manufaa ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla


Aidha Mhe.Balozi Sirro amewataka watumishi wa umma kutimiza wajibu wao kwa Wananchi kwa kutekeleza majukumu waliyopewa ili kuwasaidia Wananchi na kutatua changamoto zao huku akisisitiza kutumia muda wa kazini vizuri kwaajili ya kuwahudumia Wananchi.


Katika hatua nyingine Mhe.Balozi Sirro amekagua ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma iliyopo  eneo la Mahembe huku akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kuboresha miundombinu na kuongeza idadi ya watumishi ili Wananchi wapate huduma kwa wakati na kwa ufanisi.


"Sisi kama Serikali tutaona namna gani tutaongeza wataalam wa Afya,ili Wananchi wa Kigoma wasipate adha lakini pia tutaona namna ya kutafuta fedha kwaajili ya kukamilisha baadhi ya miundombinu ikiwemo chumba cha kuhifadhia maiti"amesema Balozi Sirro


Hii ni Ziara ya Kwanza kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe.IGP(Mst)Balozi Simon Sirro katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani