• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

JAMII YATAKIWA KURIPOTI VITENDO VYA UKATILI

Posted on: March 8th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ameionya jamii kuachana na tabia za kumaliza mashauri ya vitendo vya ukatili wa kijinsia nje ya mfumo wa sheria kwasababu yoyote ile.

Amesema kumalizana na kesi hizo kienyeji bila kufuata sheria na taratibu za nchi kunasababisha ukomavu na usugu wa vitendo hivyo.

“Watoto wetu wanaofanyiwa vitendo vya kikatili huwezi kuwalinganisha na kitu chochote hata wazazi waamue kuchukua pesa, au mifugo ili kuachana na kesi licha ya maumivu watoto wanayokuwa wameyapitia, tuache kuwaumiza watoto wetu na tutoe taarifa za vitendo hivyo kwenye vyombo vya sheria’ Amesema Andengenye.

Ameongeza kuwa asilimia 60 ya matukio ya unyanyasaji wa kijinsia hufanyika katika ngazi ya familia huku kukiwa hakuna hatua zozote za kisheria zinazochukuliwa dhidi ya watuhumiwa jambo linalosababisha vitendo hivyo kukithiri katika jamii

Aidha Andengenye amesema ili kufikia kasi ya mabadiliko ya kimkoa katika nyanja za uchumi, kisiasa na kijamii ametoa wito kwa wakurugenzi kuimarisha utaratibu wa usimamizi wa shughuli za kielimu hasa kuelekeza nguvu katika masuala ya ya usawa wa kijinsia kwa lengo la kuleta usawa katika jamii.

Amewaelekeza watendaji hao wa halmashauri kuendelea kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo katika kutekeleza mpango wa taifa wa kutokomeza vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake.

Hata hivyo amewaasa wanawake kote mkoani kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi ili waweze kutoa mawazo na mchango wao katika kukuza uchumi wa jamii

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani