• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA WAMCHAGUA MH. JOSEPH NYAMBWE KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA KWA KIPINDI CHA 2020-2025

Posted on: December 16th, 2020

Mkutano wa kwanza wa Baraza la Halmashauri wa tarehe 15 Desemba 2020 ulifanyika kwa Waheshimiwa Madiwani kuanza kuapa kisha kufuatiwa na uchaguzi wa Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Mkutano wa kwanza wa Baraza ulimchagua Diwani wa kata ya Kagunga Mh. Joseph Nyambwe kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2020-2025 na Mh. Albogast Ndiyuze Diwani wa kata ya Bitale alichaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. 

Mkutano wa kwanza wa Baraza uliunda Kamati za kudumu za Halmashauri na kupitisha ratiba ya vikao. Mkutano wa kwanza wa Baraza pia ulipokea taarifa ya Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu kumbukumbu ya maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri zilizofanyika katika kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Samson Anga (aliyesimama) akisalimia na kutoa neno kwenye mkutano wa kwanza wa Baraza la Halmashauri wa tarehe 15 Desemba 2020.


Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi wa Mwenyekiti na makamu Mwenyekiti akitoa maelekezo kabla ya uchaguzi.

 Mh. Assa N. Makanika Mbunge wa Jimbo ya Kigoma Kaskazini akifuatilia kwa makini mkutano wa kwanza wa Baraza la Halmashauri wa tarehe 15 Desemba 2020.


Wananchi mbalimbali waliojitokeza wakishangilia na kucheza baada ya kushuhudia viapo kwa Madiwani wateule wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani