• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO

Posted on: May 30th, 2025

Waheshimiwa Madiwani wa Baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya hiyo kwa ongezeko la mapato ya ndani yanayowezesha kutekeleza shughuli za Maendeleo kwa haraka na ufanisi.

Hayo yamebainika leo tarehe 30 Mei,2025 wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kwa Robo ya Tatu ya mwaka kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo uliopo eneo la Mahembe.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mhe.Joseph Nyambwe amesema hatua madhubuti zilizochukuliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mwl.Chiriku Hamisi Chilumba zimewezesha Halmashauri kukusanya zaidi ya sh.Milioni 150 kwa mwezi na kupelekea Halmashauri kukusanya zaidi ya sh.Bilioni 1.5 kwa mwaka.

Wakizungumza wakati wa Kikao hicho Wahe.Madiwani wameeleza kuridhishwa kwao na utendaji kazi wa wataalam hususan wa Idara ya Fedha kwa kubuni vyanzo mbalimbali na kusimamia ukusanyaji wa mapato unaorahisisha utekelezaji wa shughuli za Miradi ya maendeleo kwenye Halmashauri.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Linus Sikainda ametumia fursa hiyo kuwashukuru Wah.Madiwani kwa usimamizi mzuri na ushirikiano wanaoendelea kuuonesha huku akiahidi kuendelea kuchapa kazi kwa bidii ili shughuli zote zitekelezwe kwa wakati na kwa ufanisi.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WANAMICHEZO UMISETA WATAKIWA KUWA MABALOZI WAZURI KWA KUZINGATIA NIDHAMU NA WELEDI
  • WAKULIMA I500 KIGOMA DC WAFIKIWA NA ELIMU YA SHAMBA DARASA
  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani