• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MAAFISA WATENDAJI WA KATA 16 ZA HALMASHAURI YA KIGOMA WAMPONGEZA MKURUGENZI KWA KUSHUGHULIKIA MADAI YA STAHIKI ZAO

Posted on: April 2nd, 2024

Watendaji 16 wa kata za halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamempongeza mkurugenzi wa halmashauri hiyo Chiriku Chilumba kwa kumpatia mbuzi kutokana na kuhakikisha kuwa stahiki zao zimelipwa kwa wakati.

Akiongea mwenyekiti wa watendaji hao, Lulinda Rashid kutoka kata ya Ziwani amesema wanafurahishwa na utendaji kazi wake,na kama mwajiri aendelee kufanya kazi vizuri na kutetea haki za watumishi kama mwajiri.

 Mkurugenzi akiwashukuru watendaji kwa zawadi ya beberu waliyompa


“Amefika kwenye halmashauri ya Kigoma hivi karibuni, ndani ya muda mfupi aliokaa tumelipwa stahiki zetu tulizokuwa tunadai, ni kiongozi mzuri” Amesema Rashid.

Akipokea shukrani hizo, mkurugenzi Chilumba amesema pongezi hizo ni ishara ya kuboresha utendaji kazi na usimamizi mzuri wa majukumu.

Amesema shukrani hizo si zake peke yake, Bali ni kwaajili ya wakuu wote wa idara na wafanyakazi wa halmashauri hiyo kwani wanafanya kazi kwa ushirikiano.

“Mafanikio haya yanategemeana na mtazamo wangu lakini ushirikiano na watumishi wengine wakiwemo wakuu wa idara,tuliahidi kushirikiana kuhakikisha pale penye changamoto tunaziondoa na tumefanikiwa” Amesema Chilumba.

Mkurugenzi Chilumba amewashukuru watendaji hao na kushukuru jitihada zinatokana na ushirikiano anaupata kutoka kwa wakuu wa idara pamoja na wengine kwani anaamini katika jitihada za kila mmoja katika kufikisha lengo na kusema kuwa bado upo mipango mizuri ya kuhakikisha kwamba changamoto zilizopo zinapunguzwa na hakikishe kuwa zinakwisha.

Picha ya pamoja ya mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya kigoma akiwa na watendaji wa kata 16 za halmashauri hiyo


Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani