• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

MAAFISA UGANI MKOANI KIGOMA WAPATIWA VITENDEA KAZI

Posted on: August 16th, 2024


Maafisa ugani mkoani Kigoma wametakiwa kujitathmini katika utendaji kazi wao, kwa kupima matokeo ya uzalishaji katika sekta ya kilimo kabla na baada ya kupokea vitendea kazi vilivyotolewa na serikali kwaajili ya kuboresha sekta ya kilimo mkoani humo.

Akizungumza Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, katika hafla ya kukabidhi vitendeaa kazi kwa maafisa ugani, Hassan Rugwa amesema ni muhimu kufanya tathimini ili kupata matokeo ya thamani inayoongezeka katika uzalishaji wao ili kuleta tija na ufanisi katika sekta hiyo kutokana na vifaa vinayotolewa na maafisa ugani wanaojiriwa.

Baadhi ya wakurugenzi wa Mkoa wa kigoma wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma

“Mpaka sasa mkoa umepokea pikikipi 134, vifaa vya kupima udongo, vishikwambi 440, mavazi rasmi ya kazi 175, na vifaa vingine vingi, tunataka kuona hivi vitendea kazi vikileta matokeo chanya katika uzalishai, ,tufanye tathmini ya kazi zetu ili vitendea kazi tunavyoendelea kupokea vinaendana na  matokeo, tuhakikisha tunaongeza uzalishaji kabla na bada ya kupkea vifaa” amesema  Rugwa.


Awali akizungumza Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji mkoani humo, James Peter amesema serikali imetoa magwanda kazi 175, pamoja na magari mawili yaliyotolewa katika halmaashauri ya wilyaya ya Buhigwe pamoja na ofisi ya mkoa  kwaajili ya ufuatiliaji na kuongeza usimamizi kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji na kutimiza ndoto ya serikali ya kuboresha sekta ya kilimo.


Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Kigoma,Thobias Andengenye amewataka maafisa hao kutojitofautisha wao na vitendea kazi vinavyotolewa ili waweze kuvitunza kwa uchungu na kuleta ufanisi katika shughuli zao kwani kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya vitendea kazi vinavyotolewa kwa wafanyakazi ambapo wamekuwa wakivitelekeza hata pale vinapohitaji marekebishi madogo wakisubiri serikali ifanye.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAZINDUA ZOEZI LA CHANJO YA KUKU DHIDI YA MAGONJWA HATARI
  • HATUA ZA AWALI UJENZI KITUO CHA AFYA MWANDIGA ZAANZA-DED ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI
  • RC SIRRO ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA SEKTA YA KILIMO NA FURSA ZA BIASHARA KUINUA UCHUMI NA KUONGEZA KIPATO
  • WANANCHI KIJIJI CHA CHANKERE WAJENGA VYUMBA 2 VYA MADARASA KWA NGUVU ZAO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani