• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 10 FEBRUARI, 2022

Posted on: February 10th, 2022

Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kimeketi leo tarehe 10 Februari, 2022 na ajenda mbalimbali zimepitiwa na waheshimiwa Madiwani. Miongoni mwa ajenda hizo ni taarifa za kamati za Madiwani ambazo zimejadiliwa na kupokelewa na Baraza la Madiwani. Pia miongoni mwa mambo yaliyoongelewa ni pamoja na ujenzi wa ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kigoma, ujenzi wa kituo cha afya Kagunga, ubunifu kukusanya mapato na uwekezaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma n.k. Baraza limehudhuriwa na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma pamoja na wageni mbalimbali walioalikwa akiwemo kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma (DAS), Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kigoma na taasisi na vyombo mbalimbali vya usalama.

Pichani juu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba (Aliyesimama) akisema jambo katika Baraza hilo la Madiwani.


Diwani wa Kata ya Kalinzi Mh. Ignas R. Helanya akichangia hoja katika Baraza la Madiwani lililofanyika tarehe 10 Februari, 2022 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Kaimu Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Ndg. George Daniel Onyango (Aliyesimama) akitoa mwongozo katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika tarehe 10 Februari, 2022.


Daktari Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Daktari Lusajo Mwakajoka (Aliyesimama) akitoa ufafanuzi katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika tarehe 10 Februari, 2022.


Afisa Rasilimali Watu wa Halmashuri ya Wilaya ya Kigoma Bw. Bennet Ninalwo akifafanua jambo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri wa Wilaya ya Kigoma tarehe 10 Februari, 2022.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MUDA

    read more
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA PILI

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WALENGWA WA KAYA MASKINI WAHIMIZWA KUENDELEZA UJUZI NA MIRADI WALIYOANZISHA
  • JESHI LA MAGEREZA KWITANGA LAFANYA USAFI HOSPITALI YA WILAYA YA KIGOMA LIKIFANYA MAADHIMISHO YA WIKI YAKE
  • SERIKALI YAKABIDHI MABOTI MAWILI YENYE THAMANI YA TSH MILIONI 100 KWA AJILI YA KUIMARISHA DORIA ZIWA TANGANYIKA
  • NG’OMBE 7,000 KUCHANJWA DHIDI YA HOMA YA MAPAFU KIGOMA DC
  • CHMT KIGOMA DC YAFUATILIA KWA UKARIBU HUDUMA ZA AFYA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani