• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C

Posted on: June 23rd, 2025


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kigoma Mhe.Almesh Mayonga amesema ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu na afya kwa kuzingatia Ilani ya CCM kwenye maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Mhe.Mayonga amesema hayo leo tarehe 23 Juni,2025 wakati kamati ya Siasa ya CCM Kigoma ilipotembelea na kukagua utekelezaji wa Mradi wa Hospitali ya Wilaya ya Kigoma iliyoko Mahembe,na ujenzi wa Bwalo la Wanafunzi katika shule ya Sekondari ya Mwandiga.


Mhe.Mayonga akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe.Dkt.Rashid Chuachua,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mwl.Chiriku Hamisi Chilumba pamoja na wataalam wametembelea Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kigoma unatekelezwa kwa awamu ambapo Serikali ilitenga kiasi cha Shilingi Bil.3 kwaajili ya Ujenzi wa majengo mbalimbali pamoja na ununuzi wa Vifaa tiba,hatua itakayowawezesha Wananchi kupata huduma karibu na makazi yao.


Mwenyekiti wa CCM Mhe.Mayonga pamoja na kumpongeza Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Kigoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma amesema lengo lao ni kuona Ilani ya CCM inatekelezwa kikamilifu kwa kuhakikisha Miradi yote ambayo Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ameleta fedha inatekelezwa kwa maslahi ya Wananchi.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe.Dkt Rashid Chuachua amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha Miradi ya maendeleo iliyopo kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo ya Elimu,Afya,Maji na Miundombinu inakamilika kwa wakati huku akisisitiza wananchi kuendelea kuwa na imani na Serikali kwa kuwa ina dhamira ya dhati ya kuwaletea maendeleo.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • R.C ANDENGENYE AIPONGEZA KIGOMA D.C KWA HATI SAFI-ASISITIZA USIMAMIZI THABITI MAPATO YA NDANI
  • DAS NZOTA APIGA MARUFUKU MASOKO YA USIKU KWA WATOTO WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18
  • KAMATI YA SIASA YA CCM (W) KIGOMA YARIDHISHWA UTEKELEZAJI WA MIRADI KIGOMA D.C
  • MADIWANI WAIPA KONGOLE KIGOMA DC KUPAA KWA MAPATO
  • DC DKT.CHUACHUA AONGOZA ZOEZI LA USAFI SIMBO AHIMIZA LIWE ENDELEVU
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani