• Webmail
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Wasiliana nasi
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali watu
    • Planning and Management
    • Finance and Accounts
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Procurement and Supply
    • Economy and Production
    • Miundombinu
    • Local Government
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Guidelines
    • Procedures
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo kwa umma
    • Maktaba
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Videos

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika


Halmashauri ya wilaya ya Kigoma kwa sehemu kubwa inategemea kilimo kama shughuli kuu ya kiuchumi katika kujiongezea kipato na chakula. Mazao makuu ya biashara yanayolimwa ni Kahawa na Michikichi, kwa upande wa mazao ya chakula ni Mahindi, Mihogo, Maharagwe, Viazi vitamu, Ndizi na Karanga. Aidha Taasisi zinazoshirikiana na Halmashauri katika shughuli za kilimo ni kama: JaneGoodall Institute – Uhifadhi wa Mazingira na Kilimo Mseto; TACRI – Utafiti zao la Kahawa; Kanyovu – Chama cha Ushirika zao la Kahawa (M); Seed Change – Uzalishaji Miche bora ya Kahawa; Gombe National Park – Kilimo cha Mihogo.

 

Takwimu zinaonyesha mavuno yamefikia jumla ya tani 339,349.79 kwa mazao ya Mahindi, Mpunga, Muhogo, Ndizi na Viazi Vitamu ambazo zitatoa tani 230,599.89 za wanga na upande wa mazao ya mikunde mavuno ni tani 10,889.84 ambazo zitatoa tani 2.79 za utomwili (protini).  Mahitaji ya chakula kwa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma ni tani 57,861.09 za wanga na tani 4,895.94 za utomwili hivyo kuna ziada ya tani 172,738.8 za wanga na upungufu wa tani 4,250.88 za utomwili (protin). Upungufu huu wa utomwili utafidiwa kwa upatikanaji wa mazao ya samaki, dagaa na mifugo (kuku, mbuzi, kondoo na ng’ombe.) pamoja na mazao ya mikunde yanayolimwa mabondeni kipindi cha kiangazi.

 

Halmashauri inahamasisha  Wananchi Kuunda vikundi vya kiuchumi na vyama vya ushirika kwa lengo la kupata Masoko  ya Pamoja kwa ajili ya kuuza mazao yao kwa bei nzuri na upatikanaji wa mikopo toka  Taasisi za fedha  kiurahisi kwa ajili ya kuendesha shughuli zao za kiuchumi.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA

    read more
  • TANGAZO LA AJIRA

    read more
  • TANGAZO LA MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA

    read more
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA

    read more
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    read more
  • View More

Habari M-pya

  • WAKULIMA WA ZAO LA MCHIKICHI WATAKIWA KUTUMIA MBEGU BORA ILI KUONGEZA UZALISHAJI NA KUKUZA KIPATO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAPIGA HATUA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI
  • SERIKALI YAOKOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 60 KWENYE UJENZI WA MADARAJA YA MAWE KOTE NCHINI
  • DC.DKT. CHUACHUA ASISITIZA WAZAZI KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUPATA CHAKULA SHULENI
  • DCC KIGOMA DC YAPITISHA MCHAKATO WA MGAWANYO WA KATA
  • More

Wasiliana nasi

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA
Telephone: 028 2804865
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: 028 2804865
P.O.Box 332 KIGOMA
Postal Address: MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Telephone: 028 280 271 9
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Mobile: +255752337486

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2024GWF . All rights reserved.

  • Vigezo
  • Sera za Usiri
  • Maswali ya Mara kwa mara
  • Ramani