• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

ZIARA YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

Posted on: April 13th, 2022

Tarehe 13 April 2022 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mh. Thobias Andengenye amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Ziara hiyo imehusisha kufuatilia na kuhamasisha zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi pamoja na kukagua miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. 

Katika zoezi la uwekaji wa Anwani za Makazi, Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kufikia malengo yaliyowekwa katika Wilaya, Mkoa na Taifa. Mkuu wa Mkoa pia amewahamasisha wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kutoa ushirikiano kwa makarani wanaopita katika makazi ya watu kuchukua data za Anwani za Makazi. Pia Mkuu wa Mkoa amewaomba wananchi kuwa walinzi wa vibao vya Anwani za Makazi ili kuhakikisha hakuna uhalibifu wa miundombinu hiyo.

Pichani juu: Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Mwenye Suti Nyeusi) akiongea na wananchi katika Kata ya Mwandiga, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Pichani juu: Kibao kikionesha uwelekeo wa barabara ya Kiwanjani katika Kata ya Mwandiga, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.


Mkuu wa Mkoa pia amefanya ukaguzi wa mradi wa matundu 12 ya vyoo katika shule ya msingi Nkema iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Mkuu wa Mkoa amesisitisha kuwekwa kwa miundombinu ya Maji haraka ili vyoo hivyo vianze kutumika.

Pichani juu: Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Wa Pili mwenye Suti Nyeusi) akipokea taarifa ujenzi wa matundu 12 ya vyoo katika shule ya msingi Nkema iliyopo Kata ya Mwandiga kutoka kwa mwalimu Mkuu (Wa kwanza kushoto). Wengine ni viongozi wa Wilaya ya Kigoma.

Pichani juu: Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Mwenye Suti Nyeusi) akikagua vyoo katika shule ya msingi Nkema.

Pichani juu: Majengo mawili ya vyoo yenye matundu 12 katika shule ya msingi Nkema.

Picha ya pamoja ya Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Katikati mwenye Suti Nyeusi) na watumishi walimu wa shule ya msingi Nkema iliyopo Kata ya Mwandiga pamoja na viongozi wa Wilaya ya Kigoma wakati wa ziara yake tarehe 13 Aprili 2022.


Mkuu Mkoa Mh. Thobias Andengenye amemalizia ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa kukagua ujenzi wa nyumba ya watumishi katika Zahanati ya Kidahwe. Mkuu wa Mkoa amesisitiza kumalizika haraka kwa mradi huo ili watumishi hao wa afya waweze kuishi karibu na kituo cha kutolea huduma

Pichani juu: Mkuu wa Mkoa Mh. Thobias Andengenye (Mwenye Suti Nyeusi), Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dr. Lusajo Mwakajoka (Wa kwanza kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bw. Nassir Kirusha (Wa pili kutoka kulia), wakikagua ujenzi wa nyumba ya watumishi katika Zahanati ya Kidahwe.

Pichani juu: Jengo la nyumba ya watumishi katika Zahanati ya Kidahwe ikiwa hatua ya Linta.

Matangazo kwa umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II March 13, 2023
  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MEMKWA KUSAIDIA WALIOKOSA ELIMU KWA MFUMO RASMI

    March 21, 2023
  • BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA KIGOMA LAFANYA MKUTANO

    March 15, 2023
  • PROGRAM YA SHULE BORA YAFANYA MAFUNZO YA USHIRIKIANO WA WAZAZI NA WALIMU (UWaWa)

    February 28, 2023
  • WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI HALMASHAURI YA WAILAYA YA KIGOMA

    February 23, 2023
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa