• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

UZINDUZI WA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

Posted on: March 24th, 2022

Uzinduzi wa utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi umezinduliwa tarehe 24 Machi, 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe. Uzinduzi huo uliambatana na kikao kazi ili kutoa maelekezo kwa Watendaji wa Kata na Vijiji kuhusu utekelezaji wa zoezi hilo. Kikao kazi hicho kimeudhuriwa pia na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mh. Joseph Nyambwe, Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Katika hotuba yake, Mh. Mkuu wa Wilaya ya Kigoma amesisitiza kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kukamilisha zoezi hilo kwa wakati. Amesisitiza kwamba zoezi hilo ni la Kitaifa na ni lazima likamilike mwezi Mei, 2022. Lakini pia kukamilika kwa zoezi hilo litarahisisha zoezi linalokuja la Kitaifa la Sensa ya watu na makazi. Mh. Mkuu wa Wilaya ya Kigoma pia amewashukuru wajumbe wa kamati ya uratibu wa zoezi hilo la Mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe (Wa pili kutoka kulia) pamoja na viongozi wengine wakishiriki kikao kazi. Aliyesimama ni Mwenyekiti wa Kamati ya utekelezaji mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Petronila Gwakila


Watendaji wa Kata na Vijiji, viongozi na wageni waalikwa wakishiriki kikao kazi ili kutekeleza mfumo wa Anwani za Makazi.


Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh. Ester Alexander Mahawe (wa pili kutoka kulia mwenye nguo nyeupe) katika zoezi la uzinduzi wa utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwenye nyumba iliyopewa namba moja (01) katika Kata ya Mahembe.

Matangazo kwa umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II March 13, 2023
  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • MWENGE WA UHURU 2023 WAKIMBIZWA KWA KISHINDO HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    August 21, 2023
  • KIKAO CHA KAMATI WA LISHE KWA ROBO YA NNE APRILI-JUNI, 2023 CHAFANYIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA

    July 13, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAFANYA KIKAO CHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    May 12, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AFANYA ZIARA KATIKA KATA YA KAGUNGA

    May 07, 2023
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa