• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua Pepe za watumishi |
Kigoma District Council
Kigoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
    • Msingi Mkuu
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Elimu Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Afya
      • Huduma za Jamii na Ustawi wa jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • TASAF
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, afya na maji
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Orodha ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu ya maombi
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Makala
    • Hotuba
    • Machapisho

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA ATEMBELEA MIRADI YA UJENZI WA MADARASA KATIKA MPANGO WA KUPAMBANA NA UVIKO-19

Posted on: November 11th, 2021

Tarehe 10 Novemba 2021 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Bi. Rose Robert Manumba amefanya ziara ya kutembelea miradi yote ya ujenzi wa madarasa yanayojengwa kutokana na mkopo nafuu wa kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Mradi huu wa ujenzi wa madarasa unaotekelezwa chini ya mpango wa kupunguza kuenea kwa UVIKO 19, utapunguza msongamano kwa wanafunzi wanaotarajiwa kuingia kidato cha kwanza mwaka 2022. Jumla ya madarasa 69 yanajengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma katika Kata mbalimbali. Miradi imeonekana kuanza vizuri na muendelezo ni mzuri mpaka sasa. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri amesisitiza bidii na kuwajibika ili madarasa yamalizike kwa wakati uliopangwa na yaanze kutumika mwakani kwa wanafunzi hasa kwa kidato cha kwanza.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Rose Manumba (Wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi ya Halmashauri Bw. Nassir Kirusha (Wa tatu kutoka kushoto) na Mtaalamu wa ujenzi kutoka Halmashauri (Wa nne kutoka kushoto) wakifualia ujenzi hatua za ujenzi wa magarasa. Wengine kwenye picha ni mafundi.


Ujenzi ukiendelea katika hatua ya kupanga Mawe kwenye msingi.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Rose Manumba (Wa pili kutoka kushoto) akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi

Matangazo kwa umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II March 13, 2023
  • WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA December 13, 2022
  • TAARIFA KUHUSU HALI YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA November 15, 2022
  • View All

Habari M-pya

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA YAFANYA KIKAO CHA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    May 12, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AFANYA ZIARA KATIKA KATA YA KAGUNGA

    May 07, 2023
  • MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 122 YATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    March 30, 2023
  • MEMKWA KUSAIDIA WALIOKOSA ELIMU KWA MFUMO RASMI

    March 21, 2023
  • View All

Video

MAKALA YA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
More Videos

Tovuti zinazo fanana

  • Kigoma Ujiji Mc
  • Halmashauri ya Wilaya Uvinza
  • Halmashauri ya Wilaya Buhigwe
  • Halmashauri ya Wilaya Kasulu
  • Halmashauri ya Mji wa Kasulu
  • Halmashauri ya wilaya Kibondo
  • Halmashauri ya wilaya Kakonko

Tovuti Zinazo husiana

  • OFISI YA RAIS TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI (NECTA)
  • WIZARA YA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
  • MKOA WA KIGOMA
  • TOVUTI YA TAIFA
  • MFUMO WA MADENI YA WATUMISHI SERIKALINI
  • SALARY SLIP PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR

    Postal Address: P.O.Box 332, KIGOMA

    Telephone: 028 2804865

    Mobile: 028 2804865

    Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera za Usiri
    • Vigezo
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa