Kusajili vikundi .
Kutembelea vikundi.
Kutoa elimu kwa vikundi.
Kutoa mikopo kwa vikundi.
Kufanya ufuatiliaji na tathmini.
Kutoa mafunzo ya jinsia kwa jamii na mahala pa kazi .
Kuelimisha viongozi wa kijiji/wanakijiji juu ya umuhimu wa ujenzi wa nyumba bora.
Kutoa mafunzo juu ya kujikinga na VVU/UKIMWI.
Kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa majiko Sanifu.
Kumsikiliza mteja .
Kumpa mteja ushauri na maelekezo .
Kujibu barua za wateja.
Kuandaa na kuwasilisha taarifa mbalimbali.
P.O.Box 332, KIGOMA
Postal Address: THE DISTRICT EXECUTIVE DIRECTOR
Telephone: 028 280 271 9
Mobile: +255 767 682 782
Barua pepe: ded@kigomadc.go.tz
Hakimiliki ©2017 H/W Kigoma . Haki zote zimehifadhiwa